Nahitaji flat tv smart

Nahitaji flat tv smart

Oxpower

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,179
Reaction score
3,103
Waungwana habari za jioni.

Natafuta tv flat kampuni iwe lg,sumsung,sony,panasonic,philips,tcl,startimes,nk ila isiwe kabila la hizi za kichina .

Size iwe kuanzia 32+.iwe ni smart au led tv.

Pesa mfuko wa shati ipo 450000 ila tv yako ikinivutia zaidi naweza nikaongeza kidogo hasa kwa smart .

Pesa ni ngumu wakuu tusaidiane namimi niangalie tbc yetu.wezi walaaniwe

Kwa mawasiliano zaid PM
 
Kama unataka used, nenda Mkwajuni upande wa kwenda Studio kuna duka limeandikwa Johanesburg utapata hapo kwa bei hiyo
 
Waungwana habari za jioni.

Natafuta tv flat kampuni iwe lg,sumsung,sony,panasonic,philips,tcl,startimes,nk ila isiwe kabila la hizi za kichina .

Size iwe kuanzia 32+.iwe ni smart au led tv.

Pesa mfuko wa shati ipo 450000 ila tv yako ikinivutia zaidi naweza nikaongeza kidogo hasa kwa smart .

Pesa ni ngumu wakuu tusaidiane namimi niangalie tbc yetu.wezi walaaniwe

Kwa mawasiliano zaid PM
Nunua Mo Electro kwahio pesa upate na warranty ya miaka miwili.
 
Waungwana habari za jioni.

Natafuta tv flat kampuni iwe lg,sumsung,sony,panasonic,philips,tcl,startimes,nk ila isiwe kabila la hizi za kichina .

Size iwe kuanzia 32+.iwe ni smart au led tv.

Pesa mfuko wa shati ipo 450000 ila tv yako ikinivutia zaidi naweza nikaongeza kidogo hasa kwa smart .

Pesa ni ngumu wakuu tusaidiane namimi niangalie tbc yetu.wezi walaaniwe

Kwa mawasiliano zaid PM
Mkuu ipo Panasonic mpya kabisa, kwa Bei hiyo ntakuuzia ingawa sio smart mkuu, sijui upo wap Kama upo dar ntakuelekeza dukan kwangu uje uibebe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waungwana habari za jioni.

Natafuta tv flat kampuni iwe lg,sumsung,sony,panasonic,philips,tcl,startimes,nk ila isiwe kabila la hizi za kichina .

Size iwe kuanzia 32+.iwe ni smart au led tv.

Pesa mfuko wa shati ipo 450000 ila tv yako ikinivutia zaidi naweza nikaongeza kidogo hasa kwa smart .

Pesa ni ngumu wakuu tusaidiane namimi niangalie tbc yetu.wezi walaaniwe

Kwa mawasiliano zaid PM
Bahati mbaya kuna smart LG inch 40 sema ni 500,000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom