Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,179
- 3,103
Waungwana habari za jioni.
Natafuta tv flat kampuni iwe lg,sumsung,sony,panasonic,philips,tcl,startimes,nk ila isiwe kabila la hizi za kichina .
Size iwe kuanzia 32+.iwe ni smart au led tv.
Pesa mfuko wa shati ipo 450000 ila tv yako ikinivutia zaidi naweza nikaongeza kidogo hasa kwa smart .
Pesa ni ngumu wakuu tusaidiane namimi niangalie tbc yetu.wezi walaaniwe
Kwa mawasiliano zaid PM
Natafuta tv flat kampuni iwe lg,sumsung,sony,panasonic,philips,tcl,startimes,nk ila isiwe kabila la hizi za kichina .
Size iwe kuanzia 32+.iwe ni smart au led tv.
Pesa mfuko wa shati ipo 450000 ila tv yako ikinivutia zaidi naweza nikaongeza kidogo hasa kwa smart .
Pesa ni ngumu wakuu tusaidiane namimi niangalie tbc yetu.wezi walaaniwe
Kwa mawasiliano zaid PM