Kwa kawaida bei ya domain inagharimu TShs 25000 kwa mwaka, ila kupitia madalali kama mimi itabidi nikuwekee cha juu hapo ikiwa ni pamoja na kuiweka kwenye cpanel na kuifanya ifungue blog yako ya blogger. Hivyo kwa bajeti ya Tshs 50000 kwa mwaka utafanikisha lengo lako kikamilifu, just Check me private nikufanyie kazi mkuu