Wanaodhalau elfu hamsini ni wanafiki.
Mtaani wafanyakazi wengi wa ndani huo ndiyo mshahala wao.
Kuna mabinti wanafanya kazi za ndani mpaka kwa malipo ya 40,000 kwa mwezi.
Mkoani kwetu watu wanafanya kazi mpaka kwa malipo ya 30,000 kwa mwezi.
Tatizo hapa JF watu wanajikuta matawi ya juu kana kwamba yanayoendelea mtaani hawayajui.