Nahitaji connection za kazi

Nahitaji connection za kazi

Regent

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2020
Posts
2,306
Reaction score
3,576
Habari

Mimi mkazi wa Dar es Salam'Umri 25'Elimu Bachelor Degree.

Naamini kuna watu wakubwa humu CEOS/HRs/Manager au watu wenye Connection na hao watu tajwa/Kampuni na Ofisi mbalimbali.

Nahitaji Connection ya kupata kazi, elimu yangu Shahada ya elimu (Geography na History) pia nina ujuzi wa kutumia Kompyuta (Office Program).

Nipo tayari kufanya kazi yeyote nitayounganishwa.

Simu yangu touch yake mbovu changamoto kuandika kulipokuwa na kosa la uhandishi imelazimika kuwa changamoto ya simu.
 
Sasa wewe..history na geography ni kazi gani?
Hapo hujasomea kazi. Geograhy na history sio taaluma au kazi. Ni masomo tu.
 
Back
Top Bottom