General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,185
Nahitaji chumba kimoja chenye choo ndani.
Kiwe kikubwa kina tiles, gypsum, rangi nzuri .
Kiwe na Umeme, maji yawepo.
Kiwe maeneo Kati ya haha
Mwenge, sinza, Mwananyamala ila iwe karibu na barabara kuu, Makumbusho karibu na barabara, Ubungo.
Bei isizidi laki moja kwa mwezi.
Kiwe kikubwa kina tiles, gypsum, rangi nzuri .
Kiwe na Umeme, maji yawepo.
Kiwe maeneo Kati ya haha
Mwenge, sinza, Mwananyamala ila iwe karibu na barabara kuu, Makumbusho karibu na barabara, Ubungo.
Bei isizidi laki moja kwa mwezi.