Arabela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 3,127
- 2,227
vipo mkuu . kimoja kipo msufini mwananyamala
hali yake ikoje?
vipo mkuu . kimoja kipo msufini mwananyamala
ya kawada kaka ni chumba cha uani chumba cha elfu 30 hata wewe unaweza kuwa na picha yake kichwani.hali yake ikoje?
kipo hapa kinondoni kwa matx bei 150,000 miezi kumi anachukua , gari inafika mpaka ndani chumba ni master na kina kina jiko
kipo cha laki choo kiko nje gari inaingia ndani wapangaji mko wawili tu , kipo kinondoni mahakamanihakuna ambavyo bei inashuka kidogo, yaan self ambayo haina jiko? coz jiko kwangu sio umuhimu kivile, chumba nikikipanga vzr naweza weka jiko au nikapikia nje coz cna vitu vingi sn
inategemeana na nyumba kuna chumba cha buku 10 hakina umeme na maji tuwasiliane nikupelekeMaeneo ya buguruni vp especialy malapa ntapata cha bei gani?
kipo cha laki choo kiko nje gari inaingia ndani wapangaji mko wawili tu , kipo kinondoni mahakamani