Pikipiki zenye abiria ni TVs ,boxer za mchina zinatetemesha wateja miguu
jamani samahani wana jf mnisaidie hata ya hesabu kwa wiki 50,000/= namuomba Mungu awawezeshe ndgu zangu
Si uende ukawa lowassa anagawa bure
wacha ujinga mwenzio anakuja na shida halafu unaongea pumba kumbuka leo kwake kesho kwako
Kuna watu wa ajabu sana mkuu,mwenzake ana matatizo na anatafuta way out yeye kwa kuwa ana uhakika wa shibe analeta utani.