Ndugu wana JF wenzangu mm ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 21 namhitaji binti ama mpenz mwenye umri wa kuanzia miaka 18 hadi 21. Mwenye hizo vigezo wa umri an PM.
Asanteni wadau.
Ndugu wana JF wenzangu mm ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 21 namhitaji binti ama mpenz mwenye umri wa kuanzia miaka 18 hadi 21. Mwenye hizo vigezo wa umri an PM.
Asanteni wadau.
lakini si bado uko form v? maliza kwanza basi..
ujue mfumo wetu wa elimu haujakaa vyema kabisa.. hauruhusu kuchanganya haya mambo!!
Kijana mbona age yako na haya ulioandika hapa haviendani. Wew una uwanja mpana wa kutest na kupata vibinti special huko kitaa
Mkuu mim npo chuoni mwaka wa kwanza masters so haupo sahihi kusema npo form 5
Ni kweli kaka but huo mchezo wa kutest I hate it
Mkuu mim npo chuoni mwaka wa kwanza masters so haupo sahihi kusema npo form 5
aisee mwaka wa kwanza masters una miaka 21?? uliruka sekondari nini.?? au haupo tz??
nashindwa hata kushangaa
Huyu atakuwa ndugu yake sitti mtemvu
aisee mwaka wa kwanza masters una miaka 21?? uliruka sekondari nini.?? au haupo tz??
nashindwa hata kushangaa
He wants to fool us!! At 21 he's pursuing masters program hvi nchi gani inamana KWELI aliruka madarasa!!! au misifa tuu ya kijinga
Mkuu mim npo chuoni mwaka wa kwanza masters so haupo sahihi kusema npo form 5
Mkuu mim npo chuoni mwaka wa kwanza masters so haupo sahihi kusema npo form 5