Igauri Kwetu
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 321
- 72
Status yako ya uongo then upate mkweli !!? Ndio maana huwapati
Mkuu mim npo chuoni mwaka wa kwanza masters so haupo sahihi kusema npo form 5
Mkuu wewe bado kinda huwezi kuhimili mikikimikiki ya mahaba na huba zake....si unaona kaka zako humu kila siku tunavyowafariji na kuwafuta machozi kutokana mahabati...piga piga kwanza punyeto ili upate uzoefu na kupunguza gundi...huku ukivuta muda muafaka...
Wakati anajibu comment alisahau kama aliandika umri kwenye mada yake msamehe bure mkuuHe wants to fool us!! At 21 he's pursuing masters program hvi nchi gani inamana KWELI aliruka madarasa!!! au misifa tuu ya kijinga
He wants to fool us!! At 21 he's pursuing masters program hvi nchi gani inamana KWELI aliruka madarasa!!! au misifa tuu ya kijinga
Kijana mbona age yako na haya ulioandika hapa haviendani. Wew una uwanja mpana wa kutest na kupata vibinti special huko kitaa
Anaweza kua domo zito.
Anatakiwa walet ndo hiwe nzito na sio mdomo
Ukute domo zito, wallet empty na nyota imefifia pia
Mkuu mim npo chuoni mwaka wa kwanza masters so haupo sahihi kusema npo form 5