Nahitaji application ya live tv

Nahitaji application ya live tv

Mswaki wa chuma

Senior Member
Joined
Oct 31, 2016
Posts
121
Reaction score
95
Msaada;Nimehangaika kutafuta app ambayo inalive tv za kibongo maana nyingi nazozipata zinaonyesha channels za nje tu,ipo application niliwahi kuitumia ina Azam1, Azam2 na local channels nyingine ila nimeisahau jina hivyo naomba wanaojua application zenye channel za bongo anisaidie
 
Msaada;Nimehangaika kutafuta app ambayo inalive tv za kibongo maana nyingi nazozipata zinaonyesha channels za nje tu,ipo application niliwahi kuitumia ina Azam1, Azam2 na local channels nyingine ila nimeisahau jina hivyo naomba wanaojua application zenye channel za bongo anisaidie
App gani we co mkweli hyo unayopata azam
 
Kuna app ya clouds TV pia, niliona kwa bosi wao Kusaga instagram alirusha jina.
 
Bc pia chek kuna post kbao azam yupo ila cjaona chanells za bongo zaid ya azam
 
Msaada;Nimehangaika kutafuta app ambayo inalive tv za kibongo maana nyingi nazozipata zinaonyesha channels za nje tu,ipo application niliwahi kuitumia ina Azam1, Azam2 na local channels nyingine ila nimeisahau jina hivyo naomba wanaojua application zenye channel za bongo anisaidie
TNenda hapo, Zipo channel kama TBC, Channel Ten, Azam 1,2 ,Azam Sports Hd, Tv Imaan, Azam Hd Nk Natambulisha Live Online Tv kwenu
 
Back
Top Bottom