Nahita Frame ya Duka

Mabala21

Senior Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
146
Reaction score
100
Wadau Salaam!

Inaitajika Frame ya kuweka duka la vitu vya ndani (chakula na groceries) kwa jumla na lejareja, liwepo sehemu yoyote Dar yenye mkusanyiko na mzunguko mkubwa wa watu.

Mwenye tarrifa naomba ani DM.

Shukurani!
 
Wadau Salaam!

Inaitajika Frame ya kuweka duka la vitu vya ndani (chakula na groceries) kwa jumla na lejareja, liwepo sehemu yoyote Dar yenye mkusanyiko na mzunguko mkubwa wa watu.

Mwenye tarrifa naomba ani DM.

Shukurani!
Mkuu nicheki 0734187722 mgeninan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…