GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,882
Habari zenu!
Nisiwaficheni kama kuna kitu ambacho kila uchao / siku ' nakiombea ' siku moja kiweze kutokea hapa nchini Tanzania ni kufanyika kwa utaratibu ' maalum ' kabisa ambapo Wagombea Urais wote nchini Tanzania kutoka Vyama Vyote wawe wanafanyiwa Usaili wao ( Interview ) moja kwa moja na Members kutoka Mtandao wangu huu pendwa kabisa wa JamiiForums.
Yaani kule Ukumbini awepo tu ' Moderator ' mmoja pamoja na Wagombea wote ambapo Maswali yote atakuwa anayotoa Kwetu Sisi huku Members kisha na Wao ( Wagombea ) wanajibu na kila Mgombea atakuwa anapewa Swali lake tofauti na mtindo wa sasa ambao Swali moja linaulizwa kwa Wagombea wote.
Nina uhakika Mtandao wa JamiiForums ukitumika kufanya hili ambalo naliombea kila siku liweze kutokea na kufanikiwa Tanzania inaweza ikapata Kiongozi ( Rais ) ambaye atakuwa ' Kipanga / Mwerevu ' hasa kwa masuala mbalimbali na tutakuwa tuna uhakika nae kwani tayari atakuwa ameshachujwa vilivyo na Jamvi hili la Great Thinkers.
Mungu lifanikishe hili.
Nawasilisha.
Nisiwaficheni kama kuna kitu ambacho kila uchao / siku ' nakiombea ' siku moja kiweze kutokea hapa nchini Tanzania ni kufanyika kwa utaratibu ' maalum ' kabisa ambapo Wagombea Urais wote nchini Tanzania kutoka Vyama Vyote wawe wanafanyiwa Usaili wao ( Interview ) moja kwa moja na Members kutoka Mtandao wangu huu pendwa kabisa wa JamiiForums.
Yaani kule Ukumbini awepo tu ' Moderator ' mmoja pamoja na Wagombea wote ambapo Maswali yote atakuwa anayotoa Kwetu Sisi huku Members kisha na Wao ( Wagombea ) wanajibu na kila Mgombea atakuwa anapewa Swali lake tofauti na mtindo wa sasa ambao Swali moja linaulizwa kwa Wagombea wote.
Nina uhakika Mtandao wa JamiiForums ukitumika kufanya hili ambalo naliombea kila siku liweze kutokea na kufanikiwa Tanzania inaweza ikapata Kiongozi ( Rais ) ambaye atakuwa ' Kipanga / Mwerevu ' hasa kwa masuala mbalimbali na tutakuwa tuna uhakika nae kwani tayari atakuwa ameshachujwa vilivyo na Jamvi hili la Great Thinkers.
Mungu lifanikishe hili.
Nawasilisha.