YAWEZA kuwa
tunatakiwa tutawaliwe tena bado sanaFunguka zaidi mkuu!
By the way, we ndo tulikusubiria utuletee noah zetu au we ni mwingine??
Ok, nimekupata mkuutunatakiwa tutaliwe tena bado sana
UN wakiamua kuangalia nchi zote zilizotawaliwa na kupewa UHURU bila kupigana zilizotimiza ahadi walizotoa UN wakaaminiwa kupewa UHURU kama nyerere baadhi tu zingine ni AIBU