Huyu anayetumia X badala ya S sidhani kama kafika umri wa kupiga kura.
Mungu akupe maisha marefu axante kwa maneno yako ya busara na ushaur ulioenda chuo kikuu.nmekupenda bure.
ukijifanya mdadisi wakat kakupa ukweli ndo utaharibu zaidi huo ndo ushauri ninaokupa...!!!!Jamani msichana wa kwangu amejaliwa maumbile makubwa(kike) sasa na mimi ndo vile nchi 3, yani naona kama simpatii japo anadai anaridhika lakini nina wasiwasi.
Wadau niambieni cha kufanya kabla mambo hayajaharibika
jipake pilipili kwenye hiyo nch3 afu mgonge uone kama hatoridhika
Ivi Unaandika Cri Badala Ya Siri... Hebu Nipeni Muongozo Kwa Wale Wa NECTA