ilo suala si dhani kama linahitaji ushauri sababu ushajua tatizo lako kuwa unacopulate/unajamiiana ovyo ovyo ni jukumu lako tu kuacha mara moja na ukiendekeza utakuwa kama wapiga nyeto ngumu sana kuacha
ila ili uweze kuacha nakuomba ujue kwanini hiyo penis yako ikaitwa sehemu ya siri ukijua siri maana yake nini basi utaacha
Kwa kuwa unawatafuta ww hawajileta wao basi una pepo lako ww na sio unatumiwa na shetani, nasema ivo kwa sabab wakat unawatokea hao wadada huwa una akil yako timamu kabsa.
Mm pia niko km ww ila sijataka kuendekeza ngono zembe, na nimeweza. Mm huwa sitoki jioni kuwatafta bali nikiwa kweny gari za usafiri wa umma nikikaaga na binti yyte mara nyng huwa wananitega, sijui kwa nn. Ila wachache san nilishawishika kuchukua namba na ni wachache san nilifika stage ya kuwalala.
Hapa nilipo nina namba mpya ambayo nmeitoa kwa binti mmoja kwenye mwendokasi jana tuu. Ila nishaamua simtafuti kamwe na namba nafuta. Mm huwa naridhisha nafsi yang kweny first sigh ila nikitoka hapo hiyo roho ya tamaa naifyekelea mbaliii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.