Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,906
Umepewa chakula hotelini au nyumbani kwa mume mwenza.
Theodan ni dawa ya minyoo ukimix na valuer.
OTIS.
Wana MMU wenangu, siko salama. Friday kuna alinipigia simu akasema mke wake anaweweseka usiku akitaja Bujibuji. Na kwa ukali akaniambia atanimaliza. Leo niko kwenye viwanja vya Posta Kijitonyama, nimepewa chakula kinanuka theodan, tunaolima pamba tunaijua.
Mkiona kimya kikuu zaidi ya mwezi, jueni yamenikuta
kwa heri, ila kumbuka kuniachia makoloni yako.
Wana MMU wenangu, siko salama. Friday kuna alinipigia simu akasema mke wake anaweweseka usiku akitaja Bujibuji. Na kwa ukali akaniambia atanimaliza. Leo niko kwenye viwanja vya Posta Kijitonyama, nimepewa chakula kinanuka theodan, tunaolima pamba tunaijua.
Mkiona kimya kikuu zaidi ya mwezi, jueni yamenikuta
leo kulikuwa na nini kwenye hivyo viwanja maana nimeona mabango kibao..
Wana MMU wenangu, siko salama. Friday kuna alinipigia simu akasema mke wake anaweweseka usiku akitaja Bujibuji. Na kwa ukali akaniambia atanimaliza. Leo niko kwenye viwanja vya Posta Kijitonyama, nimepewa chakula kinanuka theodan, tunaolima pamba tunaijua.
Mkiona kimya kikuu zaidi ya mwezi, jueni yamenikuta