Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,457
- 154,323
Wana MMU wenangu, siko salama. Friday kuna alinipigia simu akasema mke wake anaweweseka usiku akitaja Bujibuji. Na kwa ukali akaniambia atanimaliza. Leo niko kwenye viwanja vya Posta Kijitonyama, nimepewa chakula kinanuka theodan, tunaolima pamba tunaijua.
Mkiona kimya kikuu zaidi ya mwezi, jueni yamenikuta
Mkiona kimya kikuu zaidi ya mwezi, jueni yamenikuta