nahisi naibiwa

mshahara ukitoka una air time ya buku 5,,,,well said,,,bravooooo!!!!
 
Reactions: HMS
binafsi hua siamin katika kukaguana cm,,,cjawah kufanya icho kitendo kwa ma x zangu ote ila kwa uyu nahitaji kuondoa doubt coz nimeplan kumuoa na tayar naingia garama nying kwa ajil yake,,

kka kuwa makini na apo nlilopigia hizo gharama anaglia sana usije kulia tushaona mifano mingi ya watu walioingia izo garama afu hawakupata kitu
 
mshahara ukitoka una air time buk 5,,,
tht z bravoo!!!!!!!
 
lol, asante. ucijali, we hiyo buku 5 ukiipata basi itolee sadaka kwa nia ya kumuomba Mungu akunyooshe mambo yako.
umezid kutisha!!,,,
thnx 4 advice aisee,,nimeupenda ushauri wako
 
Reactions: HMS
Duniani, epuka sana kuyafanyia uchunguzi mambo ambayo huwezi kuyatolea uamuzi... Usije ukakutana na jambo hilo halafu uishie kumuachia Mungu kwa kuwa kumuacha huwezi... Kama unaona kuishi bila yeye huwezi yafanyie kazi mazuri yake tu.
 
unakuwa kichwa kigumu kama mm tu...akiwa bize na wewe unakuwa bize mara 2...
 
binafsi hua siamin katika kukaguana cm,,,cjawah kufanya icho kitendo kwa ma x zangu ote ila kwa uyu nahitaji kuondoa doubt coz nimeplan kumuoa na tayar naingia garama nying kwa ajil yake,,

Ufoo Saro Style.....tunasubiri tukio soon
 
Kuna Mwanamziki Zamani sana 2000's aliimba wimbo kama huo Nahisi Naibiwa Nachanganyikiwa anaitwa kama Remela Mila sijui yuko wapi yule dada?
 
Vipi jina lake linaanzia na L au H? Maana kuna mmaoja namgegeda na kaniambia anatafuta namna ya kumwacha jamaa yake,isije kuwa ni wewe.
 

Kama anakaa hostel za chuo usiende utaitiwa mwizi na uuliwe hizo suprise zenu za kizungu zitakutokea puani.
 
Vipi jina lake linaanzia na L au H? Maana kuna mmaoja namgegeda na kaniambia anatafuta namna ya kumwacha jamaa yake,isije kuwa ni wewe.
tehe tehe,,non of the above!
 
Kama anakaa hostel za chuo usiende utaitiwa mwizi na uuliwe hizo suprise zenu za kizungu zitakutokea puani.
tehe tehe teheee,,,
chuo alichosoma nami memalizia apo , kwa pale m ni ''the don'' wengi wao wananfaham so haiwez kuleta shida,,sana sana tu ntahakikisha weng hawanion maana hua wananfata nyuma(natembeaga na asali ya warembo )hahaha,,!!!!!
 
binafsi hua siamin katika kukaguana cm,,,cjawah kufanya icho kitendo kwa ma x zangu ote ila kwa uyu nahitaji kuondoa doubt coz nimeplan kumuoa na tayar naingia garama nying kwa ajil yake,,

Hapo kwenye kuingia ndipo imapokosea!! Unakuta marafiki au hata wadogo zako wakikiomba ela unasema huna alafu unaenda mpa mtu mmekutana hata mwaka haujaisha!!! Ona sasa anakutia mastress yasiyo na kichwa wala miguu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…