mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,606
- 4,393
Mume wangu aliponichoka...
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauli... Naambiwa "we ni mbwa"
Kwenye tendo sasaanataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka
huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli...stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhikawewe Ni wale wanawake wasikridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upyami mwenyewe napenda vitu vizuri
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena![]()
Wewe ni mama D mbona kama nakujuaa na hii story yakoo



tatizo Ni iz changamoto tuu.
akishakojoa huyoooo kuchat Facebook
