Yours_sincerely
Member
- Jul 12, 2023
- 79
- 288
Mume wangu aliponichoka.
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"
Kwenye tendo sasa anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhikawewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya mi mwenyewe napenda vitu vizuri
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"
Kwenye tendo sasa anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhikawewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya mi mwenyewe napenda vitu vizuri
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena