Nahisi mtoto si wangu

Nahisi mtoto si wangu

Kuna namna nyingi sana za kuweza kujua kwa awali either mtoto ni wako ama la, zamani kulia hakuna kuchek DNA lakini wazee waliweza kujua hapa mama alichepuka na walikuwa correct kwa asilimia kubwa tu..Mpaka sasa njia zile still zinatumika kuweza tambua kama mtoto ni wako ama la kwa kumuangalia mtoto sura, umbo lake, baadhi ya viungo vyake ikiwa ni pamoja na kucha, vidole, tembea yake, cheka yake nk...
Ila huko ni mbali maadamu wewe ulishiriki tendo na huyo mama bila tahadhari yeyote ya kujikinga na mimba na leo unaambia haya ndiyo matokeo ya kazi ile mliofanya na mama huyo wacha kuwaza mara mbili..Mara moja anza kuhudumia mtoto na kama ikija julikana si wako huko baadae hutakuwa na cha kujuta watoto ni baraka na wanahitaji msaada wa matunzo hata kama si wako..lakini ulishakuwa na ukaribu na mama yake tunza huyo mtoto..

Asante kwa Ushauri, Ubarikiwe
 
Kipimo cha kwanza uliingiliana nae lini kwa maana ya tarehe je zimeendana na tarehe ya kuzaliwa mtoto?
Kama ndio dalili yakwanza ni mwanao. Hiyo tu haitoshi mwangalie mtoto sura hasa miezi ya mwanzo lazima atakuwa na mwelekeo wa sura yako, head formation, sura, masikio. Kama hafanani bado haijalishi sio mwanao.

Kucha za vidole hazitakuangusha, hasa vidole gumba na kidole cha mwisho vya mkono na miguu ukichunguza vizuri huitaji dna.

Mwisho shukuru tu kwamba umepewa heshima ya kuitwa baba hata kama sio wako, umepewa heshima kubwa. Hakikisha kila kitu kipo kwa jina lako na toa angalizo ikitokea akaja mtu mwingine na kusema ni mwanae atalipa gharama kubwa.

Chukuo jukumu la kulea mpaka utakapoambiwa vinginevyo

Asante
 
Habari Zenu wana Jf, Kuna binti Nina Mahusiano nae, ni ( Bar tender ) Aliniambia ana Ujazito na Na nimeukubali hadi Sasa Amejifungua, Ila Ghafla nimepatwa na hofu na Sijui kwa nini, Nahisi tu, Huyu Mtoto Si Damu Yangu

Kwani huyo uliyezaa naye unahisi ni mkeo?
 
Back
Top Bottom