MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,455
- 1,473
Habari zenu wana JF,
Kuna binti nina mahusiano nae, ni (Bar tender) aliniambia ana ujazito na nimeukubali hadi sasa amejifungua, ila ghafla nimepatwa na hofu na sijui kwa nini,nahisi tu, huyu mtoto si damu yangu.
Kuna binti nina mahusiano nae, ni (Bar tender) aliniambia ana ujazito na nimeukubali hadi sasa amejifungua, ila ghafla nimepatwa na hofu na sijui kwa nini,nahisi tu, huyu mtoto si damu yangu.