Kimsingi hakupendi kama wewe unavyompenda ndio maana kakuacha njia panda! Kama unajua anapo ishi nenda umfate usipige simu!
Achana na tabia za kukimbilia kwa waganga kwani huo ni uchawi kabisa! Huyo mwanamke akikataa sio mwisho wa maisha yako tulia piga kitabu wanawake wamejaa utapata mwingine..mwanamke asikufanye uwe mchawi kataa hilo kabisa kwa vitendo!
Ushauri atakupa huyo hyo mganga.!we ni mchawi,tena mchawi haswa na nyie ndo mnaoua maalbino kwa imani zenu za kishenzi..!