Mbulukenge
Senior Member
- Jun 26, 2019
- 135
- 313
Me ni degree holder ila naona life limenishinda kabisa.
Napata majanga kwa kila nacho fanya nimejaribu kulima ila mazao yalikauka, nikasema nifanye biashara sasa navyo ongea hivi mtaji ote umeteketea,yaani loss imekua kubwa kuliko profit.
Msaada wa mawazo ndugu zangu nifanye nini natamani ata kufanya illegal business ili nipatae angalau pakula na kulala.
Legal business imenitesa tu for 4 years now mliofanikiwa especially graguates wenzangu msaada wa mawazo.
Napata majanga kwa kila nacho fanya nimejaribu kulima ila mazao yalikauka, nikasema nifanye biashara sasa navyo ongea hivi mtaji ote umeteketea,yaani loss imekua kubwa kuliko profit.
Msaada wa mawazo ndugu zangu nifanye nini natamani ata kufanya illegal business ili nipatae angalau pakula na kulala.
Legal business imenitesa tu for 4 years now mliofanikiwa especially graguates wenzangu msaada wa mawazo.
