Ah mwanawane mwache zake...baada ya mambo yatakuwa poa. Kwanza hafai huyo hana adabu...u cnt just go abt destroying ppls properties just like that.
. Kwa hasira nilizopata nikamchapa makofi ma3, pwa pwa pwa pwa na la mwisho pwaaaaah
hayo matatu au matano mkuu??
Unatakiwa ujue hasira zipo za iana tofauti na kama ni kweli unavyosema hujawahi kumtajia huyo mtu we nafikiri kwa akili za haraka haraka angefanya nini?
Ila kwa kumpiga umekosea mapenzi ya sasa ni ya kueleweshana sio ya kutumia nguvu.[/QUO
nimekosea kumpiga....ndio maana namuomba msamaha...!
Kama ni home kwake haina shida, ila akija nazo kwangu ndio shida! Pale amezikuta kwangu, angekuwa mpole tu, coz sijawahi kumfanyia faulo toka nimjue...Piga picha ungemkuta na picha za Ma X wake alizohifadhi kama kumbukumbu yake ya kurecall experience zake na wao uzeeni ungejisikiaje?
typing error !hayo matatu au matano mkuu??
Ushauri, nimpotezee au nimtafute kwa msamaha wa kweli?