Nahisi kama naota vile

Asprin nasema kwa mods huu mchezo gani wa kuedit reply

uuiiiih Mr M plzzz mi sitaki tena jf bora niiikose kuliko wewe


...jamani Dada...mm naomba kitu kimoja...mkianza mechi NIRIKODIE MIGUNO..., nitakulipa hata ukitaka..nasikia kila mtu ana miguno yake mechi ikikoleaaaaaaa....nasikia wengineee wanasemaaa uuuhhh...aahhh...maamaaa nakufaaaa...yesu njoo....hapoooo...nataka kuwasikia nyie wawili na babuuu miguno yenuuuuu...hahshshshhhaaass
 
Babu asante kwa taarifa.

Naomba kujua tena kitu kingine je kwao wamejaliwa au ni mbwembwe tu na majigambo akistiliwa na keybord?

Una maanisha wamejaaliwa nini kijana wangu Phlagiey?
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana akawa ndugu yangu ila unaksmat dada juzi leo umepata
 
...
...rahaaa..kweli..watu wazima wakiwa wanatongozana unapata ELIMU tosha...ni mtongozo wa UTU na BUSARA kemkem...maneno malainiii...matamuuu....hadi mwanamke ana feel her DIGNITY IPO JUU....!!!! teh teh
 
Hujaona totoz zimajaa hapa au na ww hutaki mmoja? Mshahara haujatoka? ..

Hawa wanapendeza zaidi ukiwala kwa macho..! Umeshatoka lakini njaa zao huwa haziishi ataiumiza pochi yangu na bado atakuwa na njaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…