Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,839
Hali si shwari ndani ya serikali ya Kikwete.
Nasikia mawaziri wachafu wesha vishwa ngao ya kutoenguliwa wizarani.
CAG anayajua madudu mengi serikalini, na hii serikali ni ya maharamia zaidi ya Wasomali, tena ni ya mahayawani zaidi ya MAFIA wa Italy.
Soon tutasikia hali ya CAG ikianza kudorora
Nasikia mawaziri wachafu wesha vishwa ngao ya kutoenguliwa wizarani.
CAG anayajua madudu mengi serikalini, na hii serikali ni ya maharamia zaidi ya Wasomali, tena ni ya mahayawani zaidi ya MAFIA wa Italy.
Soon tutasikia hali ya CAG ikianza kudorora