Nahisi bado nampenda

Nahisi bado nampenda

Ivi mrembo nikulize huyu bwana Ana fimbo 2 au 1 Kama wenZie? Au yeye ndio mwanamme wako wa kwanza? Yani penzi miezi miwili nakumfulia kumpangia nguo akaaaa😳 ndio mana kakuona sie kakufananisha na beki 3 .. Cha msingi jikaze kike tafuta kazi kwanza ndio mengine yatafata achana nae, haiwezekani wewe kumuona na wana yeye akakufanya wa akiba...
 
Hayo ndio madhara ya wazinifu.Mapenzi hayajadumu hata miezi sita we umeshagawa uroda,umeona haitoshi umehamia kabisa.Kwa taarifa yako jamaa anakuona kicheche kama vicheche wengine.Na anajua kua chuoni ulikua unagawa kama njugu ndio maana hadi unahitim hujapata mwanaume wa kukuamini.NB:Uzoefu unadhihirisha kua mabinti wanaomaliza chuo bila wachumba au waume hua ngumu kupata mwanaume alietulia mtaani,ni eat and run tu.Kua makini na huyo kijana la sivo utaleta uzi mwingine hapa kua "Laazizi amekataa mimba".
 
Mapenzii ya cku hz ni ruksaa kushikanaa lkn c kushikianaa cm .rudii kwakee akakufanyee chomboo cha stareheee
 
tuliza roho.. ukimpa second chance atakuliza machozi ya dammm
 
Wanawake sometimes sijui huwaa tukoje, tunapenda sana wanaume Abusers au wale wanaotusumbua au wasiotupenda kwa dhati. Sasa kama hapo unajua kabisa huyo man wako alivyo, na unajua kabisa kuwa hajabadilika na hivyo hamtafika kokote hata akikubali kukurudia, but still u can't let go of him uuuh. Please my dear jitahidi tu umsahau, coz hata ukijirudisha kwake, utalia zaidi ya ulivyolia mara ya kwanza.

kweli kabisakabisa!
 
duh ama kweli mvumilivu hula mbivu , ..

kama unaamini waweza kuvumilia zaidi ya hapo basi all the best
 
hamna bana we rudi kwake tena bana ! kwanza jamaa anajua malovee so banana nae hapo hapo
 
Dah aisee very interesting story. ! Be careful na hao watakao ku pm.
 
hakuna sababu ya kufuga NG'OMBE kama MAZIWA yanapatikana bure, hii ndo kauli imtokayo huyo bazazi wako kila alipokuwa akikufaidi na kucheza na akili yako..
 
Dada angu kama ulivomwambia itc over nakujibiwa poa udumishe hiyo, ukimrudia kitakachofuata ni route ya milembe. Ila pole sana.
umeona eeeh.. mwambie. huyo ni simba aliye mkosa kosa swala... akijirudisha ni meno ya mshipa mkubwa wa damu,,, chali chini.
 
habari zenu jamani, mimi ni mgeni kidogo humu, sina mda sana. nilikua napitia tu maongezi na comment za watu na nkavutiwa kujiunga. anyway turudi kwenye point ilionileta hapa.

Nlikua nna mpenzi wangu ambaye alikua workmate wa kaka angu, akatokea kunipenda na mimi nkampenda tukaanza mahusiano hapo. kiukweli nilimpenda sana na nikahisi ndie atakaekuja kuwa mume wangu coz alikua na sifa zote nilizozihitaji. tulianza mapenzi vizuri sana mpaka nkawa nahisi duniani tumebaki wawili tu mimi na yeye. lakini kuna siku alipa mashaka kidogo. ikumbukwe kuwa mimi bado nakaa kwetu na nilikua ndo nimemaliza chuo nasubiri majibu nianze na utaratibu wa kutafuta kazi. kwa jinsi nilivyokua nampenda nililazimika kusema uongo nyumbani na kwenda kulala kwake, na hata siku nyingine kutoroka kabisa ili tu niawe na yeye.

Basi bwana, siku hiyo nilienda kwake nikalala huko, sasa asubuhi mapenz yakazidi akasema haendi kazini anataka tushinde wote ilkua siku ya jumatatu. Badae kama saa tatu akapigiwa simu aende ofisini, ikabidi aende, kufika akapewa barua ya kusimamishwa kazi akarudi akawa upset sana. basi nikajaribu kumpoza pale akatulia kidogo sasa baadae akawa ameeka simu kwenye chaji, na mimi nimeweka ya kwangu huku nai2mia pale pale, ikawa simu yake ikiita ananiambia nimpe anapokea. Ikapigwa simu ya mdada ikiwa imeseviwa ....... na picha yake nkampa hakupokea, akaimute! akapiga tena kama mara 5 hivi nikwamwambia mbona hutaki kupokea akanijibu 'aah! msumbufu huyu' akapiga tena akapokea akamwambia nitakupigia badae. basi bwana, m nkaendelea na zangu, kwakua huwa sipendi kugusa simu ya mpenz wang nkamuacha na sikumuuliza.

Siku nyingine tukiwa tunaangalia tv mchana nkapitiwa usingizi kwenye kochi, nikalala! simu yangu niliiacha pembeni kidogo na yeye alikua karibu yangu, basi akachukua simu yangu na kuanza kusearch, sasa kwa sababu simu yangu kila ukiitouch inatoa mlio flani hivi, nikastuka lakin hakujua kama npo macho coz nilikua nimegeukia upande mwingine, akaikagua sana siku hiyo na mimi nkamuacha coz nlikua najiamini. Basi alvyomaliza badae nkajifanya nmeamka, kushija simu yangu nakuta vitu viko shagalabagala, si unajua mtu chako bana, akitumia mwingine unajua tuu, nkamuulza umeshika simu yangu akataa huku akiwa amebadilika usoni. Badae akaniulza kuna watu nilikua nachat nao kama frends akajua ni mabwana zangu, nkamtoa wasi wasi na kuwapigia kabisa akaamini.

Sasa baada ya hapo nkahisi kuna kitu kinaendelea, kuna siku usiku tunataka kulala namba ile ile iliopgwa siku ile mara nyingi ikapigwa tena, hakupokea... nkaona anamtumia msg... asubuh yake wakati yupo bafuni nkachukua simu yake na kuangalia nikakuta msg zaa ajabu, nikaja kumuuliza akaniambia yule ni rafiki yake tu wamezoeana sana..... niliumia sana coz huwa sipend kudanganywa, yakapita hayo akaomba msamaha yakaisha.

Sasa visa vikawa haviishi mara nimpigie asipokee, mara aanze kunambia kama simtaki nimwambie kisa sijampigia wala kumtext wakat na yeye kakaa kimya, kuna kipindi tukaa siku 3 bila mawasiliano yoyote yale, nkaanza kuchoka sasa.
Lakini siku hyo ndo nilichoka zaidi, alikua amesafiri kwenda kwao kwa ajili ya arobaini ya babu yake, akarudi, akataka niende siku ambayo anarudi nikamwambia haiwezekan ntakuja kesho. Basi kesho nkaenda nkakuta mafuta ya mwanamke hizi lotion za kujichubua na yametumika limebaki kama nusu kopo, nikamuuliza akaniambiambia ni ya mdogo wake wakati wanarudi akayasahau kwenye begi lake wakati huyo begi lipo sebleni amelitupa na kuniambia ajalifungua amefika na kuliweka hapo na kulala, na mimi nilienda asubuhi mida ya saa 3 na wakati nafika ndo aliamka kunifungulia geti (shangaeni maajabu hayo) basi nkakaa kimya tu, nikawa nafanya usafi wa kupanga nguo kabatini nkakuta nguo zimefichwa kwenye mfuko za kike, nikamuuliza za nani akasema za dada ake mmoja hivi aliziacha wakati anahama, nikamwambia mbona siku zote napanga nguo humu sijawahi kuziona na mimi huwa nikipanga nguo natoa kabati zima linakua tupu kabisaa naanza kuwekaa upyaaa.

Akakosa cha kunijibu ndipo nkachukua simu yake baadae kuangalia kwenye picha nakuta picha za utupu za mwanamke na zimetumwa jana yake, na mwanamke mwenyewe ndo yule wa awali aliekua hapokei simu zake. Kumuuliza ananiambia kuna rafiki yake alimtumia kitamboo akasema aangalie watoto wa chuo wanavyofanya uchafu wa kupiga picha za uchi, nkamuuliza una uhakika unachakisema ni kweli akajibu ndiooo, nkamuonyesha tarehe siku mwezi na saa iliyotumwa akawa anajing'ata hana cha kujibu mara akawa mkali anataka tugombane, mi nIkachukua vitu vyangu nikaondoka nyumbani nkamwambia 'its over' akajibu 'poaa maisha mema' tukaachana. Ikumbukwe penzi hili halina hata miezi miwili. lakini imepita mwezi sasa hatuna mawasiliano, na nahisi bado nampenda, kuna siku nmemtumia msg hakunijibu, lakini bado nampendaa nawishi arudi na kuadmit mistake zake..... sijui nyie wenzangu mnaonaje.
naombeni ushauri..... nifanyajeee
ni hayo tu.

i will tell you what not to do at aaaallll.USIRUDI KAMWE ukirudi anakumaliza vizuri. i had kind of the same or slightly different experience, unahisi unampenda coz amekaa kimya hajaja kujutia wewe unachokiona ni makosa...(trust me its his silence that is fooling you & kumiss mambo mambo) well hiyo ni sababu 1 wapo inayokufanya uhisi unampenda kwa kuona yeye ako innocent as haji omba samahani, as a matter of fact he doesn't care about you ndyo maana kala kimya koz ana dem wake madam "open your eyeees:A S-eek: not your legs dear". sorry this is the truth & i know it hurts sana.
ukijirudisha atakuKUla af atakubwaga tena live bila chenga. mwache huyo ni tapeli wa mapenzi.
 
Wanawake sometimes sijui huwaa tukoje, tunapenda sana wanaume Abusers au wale wanaotusumbua au wasiotupenda kwa dhati. Sasa kama hapo unajua kabisa huyo man wako alivyo, na unajua kabisa kuwa hajabadilika na hivyo hamtafika kokote hata akikubali kukurudia, but still u can't let go of him uuuh. Please my dear jitahidi tu umsahau, coz hata ukijirudisha kwake, utalia zaidi ya ulivyolia mara ya kwanza.
sure thing yani...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom