knows
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,403
- 2,006
Habari wakuu.
Naimani wote niwazima kabsa.
Iko hivi wakuu wiki ya 2 sasa inaenda niko na mahusiano na mwanamke mmoja yuko powa Sana huyu Dada nikatokea kumuelewa nilimuomba namba na yeye akachukua za kwangu tukaanza conversations vizuri tu.
Basi mambo yakaendelea nikaamua kumtongoza sasa mi nimtu ambae niko serious Sana anytime nakumbuka siku ambayo nilimtongoza huyu Dada nilikuwa nimekaanae lakini uwezi amini that time nilikiuwa namtongoza huyu Dada yaan alikuwa anahema Sana sasa nikamuuliza vip unatatizo gani akaniambia unajua we uko serious Sana yaan mbaka sijui hata nikujibu nini lakini kiukweli nilivutiwa na wewe toka siku ya kwanza na kiukweli nakupenda.
Basi tukaingia kwenye mahusiano lakini uwezi amini now ni wiki ya pili inaenda kuisha ghafra huyu Dada sina hisia nae mbaka nashangaa kwanini lakini naamini nikutokana na the way anavonichukulia ni mtu serious sasa huyu Dada hajawah kuwa romantic na wala kuongea vitu romantic vya mapenz hata vya faragha nikiwa mimi na yeye.
Sababu nahisi anaogopa Sana kuongea na kufanya hayo mambo sababu anajua mi nimtu mserious sana kwaiyo anaogopa ataanzia wapi na anaona nitamchukulia tofauti labda nitakuja muona analeta ujinga labda labda sjui nini sasa hii inapelekea hata akinipigia sm huwa tunaongea tu kawaida na mwisho hawezi tena kuvuka mpaka kuongea Sana vitu vya kimapenz nahsi anaogopa.
Sasa hii naona ndo inanipelekea mimi kumuona yuko normal Sana na mimi kupoteza feeling kwake yaan hisia zishapotea kabsa japokuwa nampenda ndio na ninamuhtaji.
Wakuu em nishaurini nifanye nini juu ya hili ili nirudishe feeling na kumpenda zaidi maana kunakoelekea naona kabsa ntakuja kuchukua uamuzi wa kumpotezea na sihitaji nifanye hivyo.
Karibuni wakuu na Polen kwa usumbufu.
Naimani wote niwazima kabsa.
Iko hivi wakuu wiki ya 2 sasa inaenda niko na mahusiano na mwanamke mmoja yuko powa Sana huyu Dada nikatokea kumuelewa nilimuomba namba na yeye akachukua za kwangu tukaanza conversations vizuri tu.
Basi mambo yakaendelea nikaamua kumtongoza sasa mi nimtu ambae niko serious Sana anytime nakumbuka siku ambayo nilimtongoza huyu Dada nilikuwa nimekaanae lakini uwezi amini that time nilikiuwa namtongoza huyu Dada yaan alikuwa anahema Sana sasa nikamuuliza vip unatatizo gani akaniambia unajua we uko serious Sana yaan mbaka sijui hata nikujibu nini lakini kiukweli nilivutiwa na wewe toka siku ya kwanza na kiukweli nakupenda.
Basi tukaingia kwenye mahusiano lakini uwezi amini now ni wiki ya pili inaenda kuisha ghafra huyu Dada sina hisia nae mbaka nashangaa kwanini lakini naamini nikutokana na the way anavonichukulia ni mtu serious sasa huyu Dada hajawah kuwa romantic na wala kuongea vitu romantic vya mapenz hata vya faragha nikiwa mimi na yeye.
Sababu nahisi anaogopa Sana kuongea na kufanya hayo mambo sababu anajua mi nimtu mserious sana kwaiyo anaogopa ataanzia wapi na anaona nitamchukulia tofauti labda nitakuja muona analeta ujinga labda labda sjui nini sasa hii inapelekea hata akinipigia sm huwa tunaongea tu kawaida na mwisho hawezi tena kuvuka mpaka kuongea Sana vitu vya kimapenz nahsi anaogopa.
Sasa hii naona ndo inanipelekea mimi kumuona yuko normal Sana na mimi kupoteza feeling kwake yaan hisia zishapotea kabsa japokuwa nampenda ndio na ninamuhtaji.
Wakuu em nishaurini nifanye nini juu ya hili ili nirudishe feeling na kumpenda zaidi maana kunakoelekea naona kabsa ntakuja kuchukua uamuzi wa kumpotezea na sihitaji nifanye hivyo.
Karibuni wakuu na Polen kwa usumbufu.