advantage ya voda bundle linajiaccumulate
yani usimaliza ndani ya muda ,unanunua tena kabla
halijaisha, ttcl wao mpaka mda usihe ila wako cheap
sana ukilinganisha na hao mabwege wengine
TIGO sikushauri kukupa mb50 kwa elfu tano
hawaoni aibh yani paap