- Thread starter
- #21
Ncheki mkuu tuongeeeeKitanda nakitaka nambie ulipo au nipe mawasuliano
Ncheki mkuu tuongeeeeKitanda nakitaka nambie ulipo au nipe mawasuliano
0674843289mkuu ni pm namba ako tu
Ntatoa Kama nyongeza mkuu ukinunua Kati ya hivyoooMbona chupi hamna hapo nayo c miongoni mwa vitu vya ndan.
Karibu na mtaa wa Lissu?!..yupo area c dodoma
tafadhani utani wa aina hii siutaki huyu bwana anapigania uhai wake usiniulize maswali ya kichoko wahed weeKaribu na mtaa wa Lissu?!..
Uyu mchina atafia njiani uyu akiwekwa sehemu ni mwiko kumuhamisha![]()
Friji brand BEKO linafanya kazi vizuri ....lina sehem ya friji na freezer
Being 450k
![]()
![]()
Kiitanda cha mninga 6*6 godoro nchi 8 kwa laki 350K
![]()
Kabat la nguo [HASHTAG]#mchina[/HASHTAG] lina marekebisho kidogo laki140
Napatikana Dar es salaaam
Wa mkoani ukinunua unatumiwa kwa garama zako
Serious customer check me
0674843289
Sema huna pesa tu...sasa hapo kipi ni korokoro kati ya alivyotuma muuzaji?Zamani kujaza makorokoro ndani ilikuwa ni sifa lakini siku hizi ni tofauti kabisa..
...teh hee hee.tafadhani utani wa aina hii siutaki huyu bwana anapigania uhai wake usiniulize maswali ya kichoko wahed wee