kWAKWELI UNAWABOA WATOTO WEWE UNADHANI BAR WAMEJENGEWA NANI? hUJUI UNDER 18 HAWARUHUSIWI BAR MEANING KWAMBA ABOVE 18 HATAKIWI KUGOMBANIA REMOTE. AF WEWE UNAANGALIAJE MPIRA PEKE YAKO? UNASHANGILIA NANANI? kUNA MUDA WA BABA KURUDI NYUMBANI FANYA MAREKEBISHO. vINGINEVYO UTAMBOA HATA MKEO MANAKE ATAKUMISS VIPI.
ma great thinka wengine bwana? Yaana solution ipo, nayo ni kununua tv na kuweka chumbani kwako, lakini bado unakuja JF na kuomba ushauri, je utakasirika iwapo watu wakikushauri ununue simu ya mchina yenye tv ndani?
ma great thinka wengine bwana? Yaana solution ipo, nayo ni kununua tv na kuweka chumbani kwako, lakini bado unakuja JF na kuomba ushauri, je utakasirika iwapo watu wakikushauri ununue simu ya mchina yenye tv ndani?
so baba tulia uangalie katuni. "toto party kitoto"hahahahaaaaa! Mtu aliyekulia mjini muda mwingi utamjua tu kwa matendo na kauli zake. Aisee ungejua nnavyopenda kukaa na watoto na familia usingesema hiyo ya bar mkuu. Hayo mambo anayaweza bujibuji, mdomo unakunywa na macho yanakula pia. Huwa najifunza mengi sana kutoka kwa watoto nnavyokaa nao muda mwingi
Pole sana..kaka, naona watu wanakuzodoa bro! Ni tatizo kwa familia nyingi...solution sio kununua ma TV kumi kumi ili kila mmoja aridhike. Mana kuna house girl anataka kumuona kanumba, Kuna Mama mwenyewe nyumba anataka kuona Nigerian movie, kuna watoto wanataka kuona katuni, na baba nyumba anataka kuona Arsenal...sasa hapo si mtakuwa ma anti sosho hapo nyumbani kwenu?
Nadhani kila kitu kina wakati wake...na kuwe na kuvumiliana katika familia!! Mwaweza kuwa na TV moja na kila mmoja akawa yupo accomodated na kujiona ni mwanafamilia anayejaliwa.
Kila mmoja athamini anachopenda mwengine...Katoni ni programs zinazoendelea kwa masaa ishirini na nne, na vivyo hivyo movie n.k. mechi ya Arseno ni dakika Tisini tu!!
Ni sula la mawasiliano tu katika nyumba ndipo kila mmoja anaweza kuridhika kuangalia channel ya mwenzake na kusaidiana katika kujenga interest ya kitu ambacho labda haukuwa na mapenzi nacho zamani.
Na ushauri mwingine ni kuwa, watoto waongozwe zaidi na waelimishwe ili waelewe ni muda gani wanapaswa kuwa katika TV, muda gani kucheza na muda gani kufanya homework n.k. Vinginevyo watakaa kwenye screen 24/7 tusipokuwa makini. Jamaa wale huwa hawachoki bana...
Mkuu pole! Ila nimeshawahi kusikia kuwa unaweza kuunga TV nyingine chumbani kwa dikoda moja. Kama ni kweli fanya uwaone wataalam na ununue TV nyingine uwe unakula uhondo wa huduma zaidi ya moja ukiwa chumbani kwako. Sebuleni utakuwa unawapita kama nguzo ya daraja na hizo katuni zao na mitamthilia ya kina kanumba.
mikela, kununua tv nyingine na kuhamia chumbani haina tofauti na kuhama nyumba kwa sababu tu ya kutofautiana kitu na mwenzio/wanao. kama baba kuna umuhimu wa kujua wanao wanaangalia nini, na wanafanya nini wawapo nyumbani. hii ina maana na baba pia ata-sacrifice kutoangalia mpira na boxing, na mama nae na movies zake pia ziwe rehani. pia ni muhimu kufundisha watoto kushare resources na watu waliopo nyumbani kwao. kuna watu ofisini ukisafiri nao humo garini atataka msikilize kwaya yake tu (anakuja na cd kabisaa), mle hoteli aliyoizoea na kulala anapotaka yeye! nadhani kunaanzia huku. wafundishe wanao kuwa tunaweza kuangalia cartoon, na national geographic wajifunze kitu pia. na ccn ili wajue world news. humo kwenye movie za kiswahili na ki-nijeria nisitie neno manake sioni watakachojifunza zaidi ya miondoko feki na english mbobu, ila inahitaji kuwashawishi pia!
hata kama unanunua tv ya chumbani ni kwa ajili ya kuangalia news za alfajiri wakati unamuwinda mama nanilii kwa morning glory. sio kwa ajili ya kukimbia wanao na cartoon. ni mtizamo tu lakini...
nunua TV weka chumbani angalia kwa raha zako na wao wanajinafasi sebuleni