Nafuu vunja bei electronics

Nafuu vunja bei electronics

Ebu punguza ushamba dada


Rice cooker 1kg elfu 30.= Rice cooker 2kg elfu 30 ????
Quality?
Brand??
delivery service??
Mimi ni mshamba yes lakini si mpumbavu
Hakuna Rice Cooker mpya ya kilogram mbili kwa elfu thelathini.
 
90 wakati Kariakoo ni elfu 30 tena Original
Inawezekana hujui unaongelea nn!!! Sikulaum sana maana hujawah kuijua hii kitu,,30k original unatania weweee.. Kwanza hata hyo ya 90k bado sio Original...30000 ni yale matochi ya kichina ya kumulika giza tena ya kawaida tu
 
Inawezekana hujui unaongelea nn!!! Sikulaum sana maana hujawah kuijua hii kitu,,30k original unatania weweee.. Kwanza hata hyo ya 90k bado sio Original...30000 ni yale matochi ya kichina ya kumulika giza tena ya kawaida tu
Sawa anti. Naona nimewaharibia biashara i
 
Aisee hii bei naona rice cooker hii ni full auto. Ukiweka mchele kupika inatoa na mboga mbili bure
 
Hey hiyo mitusi mnauza kiasi gani nataka nikamtukane mkwe wangu
 
Badala ya biashara muuzaji kaamua kufunguka....full mitusi tu...
 
Kaka weka na size kwa hizo nyingine ukiachana na hiyo 2.5 million
 
Kwa mahitaji ya vitu Vya umeme majumbani tunazo.Tunapatikana kkoo msimbaz na China Plaza FL ya pili tunakuletea ulipo mda wowote sisi ni huduma kwanza malipo baadae free delivery 0714417739 /0763251378
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom