Nafuu vunja bei electronics

Nafuu vunja bei electronics

nikiwa na 450k vip haiend?
Kuna kampuni nzuri tu naweza kukupa mo electro,star x,uniwood zote hz ni hatari kwa 400000 tu zina ving'amzi internal lg na samsung majina tu kaka manunuzi bei mwisho ntakupa kwa laki 5
 
Kuna kampuni nzuri tu naweza kukupa mo electro,star x,uniwood zote hz ni hatari kwa 400000 tu zina ving'amzi internal lg na samsung majina tu kaka manunuzi bei mwisho ntakupa kwa laki 5
dah mkuu bajeti yangu ilikuwa hiyo kwa mzigo wa brand ya lg au samsung
 
dah mkuu bajeti yangu ilikuwa hiyo kwa mzigo wa brand ya lg au samsung
Haiwezekani mkuu lkn mm ndio nakuhakikishia mo electro ni zaidi ya hizo kwanza ina kioo cha kipekee hakivunjiki labda upige jiwe au nyundo pili bei ni ya ofa tu tatu ina free blacket mount kila kitu kama lg ila inauziwa ofa tu
 
Tunao wateja wetu uyole,mbozi na tunduma unaweza pia kwenda ofisi yoyote huko ya usafirishaji ama kwenye bus office unawaambia kama kuna mzigo wako dar unataka uje kwa gari zao naupeleka kwenye office zao za huku dar kisha unaongea nao huku moja kwa moja kupitia simu za office za huko na huku ili kujiridhisha ndio unatuma hela baada ya kuwakabidhi offisini
 
Haiwezekani mkuu lkn mm ndio nakuhakikishia mo electro ni zaidi ya hizo kwanza ina kioo cha kipekee hakivunjiki labda upige jiwe au nyundo pili bei ni ya ofa tu tatu ina free blacket mount kila kitu kama lg ila inauziwa ofa tu
mh,mkuu unashawishi but hizo brand mpya wanasema eti huwa ni aghalabu kudumu
 
mh,mkuu unashawishi but hizo brand mpya wanasema eti huwa ni aghalabu kudumu
Waongo mm nakuhakikishia ndio nauza hv vitu unadhani ni nn maana ya warrant na guarantee ondoa hofu mm natumi star x na mo electro nyumbani miaka 3 sasa zilivyo ingia tu nikachukua msijiongopee
 
a732856ce9e2e9c4d3f5d0103563539f.jpg
free delivery tupo kkoo msimbazi call /whatsapp 0714417739
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom