Nafuta Mke mwenye asili ya Mombasa

Nafuta Mke mwenye asili ya Mombasa

Micheweni Pemba

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2010
Posts
351
Reaction score
181
Kama kichwa cha habari kinavosema.

Mimi ni mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 29 .
Elimu Yangu ni Degree ya IT.

Nahitaji binti mrembo akiwa mweupe au mwarabu nitampa upendeleo.

Kama unavigezo naomba nipm.
 
Mmmmmmh! Itakua unatumia ule mtandao wetu wa TIGO nini??????
 
Mimi ni mwenyeji wa mombasa,unataka binti wa watu uoe au umchezee? Kama wa kuchezea kaa rada mabinti wa mombasa ni wajanja sana kama hadija kopa alivyoimba.usipate mwanamke anaetokea mombasa mitaa ya kisauni,mtwapa,old mombasa,bamburi,tudor,bondeni,makadara au casablanca na florida,utalia hadi upagae.
Lakini pia try your best inshaallah utajaaliwa sheikh
 
Mimi ni mwenyeji wa mombasa,unataka binti wa watu uoe au umchezee? Kama wa kuchezea kaa rada mabinti wa mombasa ni wajanja sana kama hadija kopa alivyoimba.usipate mwanamke anaetokea mombasa mitaa ya kisauni,mtwapa,old mombasa,bamburi,tudor,bondeni,makadara au casablanca na florida,utalia hadi upagae.
Lakini pia try your best inshaallah utajaaliwa sheikh

Akubali tuishi Zanzibar.na pia sihitaji binti mjanja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom