Bwawa la mindu
Member
- Apr 20, 2022
- 34
- 47
- Thread starter
- #41
AmeenNakuombea jambo likafanikiwe mpendwa..!!
AmeenNakuombea jambo likafanikiwe mpendwa..!!
Wewe ni ke au me?Nichek inbox nikusaidie boss
Nipasie huyo wa 22Nina wajua wawili, mmoja ana degree, mwingine ni 4m4, degree ana 28 yrs, form ana 22 years, chagua nikutumie namba PM.
NB 22 yrs is more beautiful than 28! 28 ni ndugu yangu, 22 ni best friend wangu.
Usipobadilika tabia hata upime mara 1000 haitasaidiaNilipima last February nikakuta niko Negative, juzi kati kuna mtoto kajichanganya kwenye 18 zangu, nikabutua! Yaani hapa nina kazi ya kupima tena baada ya miezi 3.
Mzee Fisi kwenye ubora wako.Nipasie huyo wa 22
Nina wajua wawili, mmoja ana degree, mwingine ni 4m4, degree ana 28 yrs, form ana 22 years, chagua nikutumie namba PM.
NB 22 yrs is more beautiful than 28! 28 ni ndugu yangu, 22 ni best friend wangu.
Utapata tu kuwa na subraHabari zenu waungwana, mimi ni mwanaume umri miaka 38. Naishi dar ni mjasiria mali, natafuta mwenza aliye serious. Mimi ni mwathirika wa vvu natamani nipate mke mwenye hali kama yangu ili tuishi kwa pamoja.dini yangu ni mkiristo ila mwenza awe wa dini yoyote sichagui. Ahsanteni.
Carleen umeolewa?Nakuombea jambo likafanikiwe mpendwa..!!
Hapana bado..Carleen umeolewa?
Hapana bado..
Kwanini mkuu..!!?
Karibu nikusikilize tafadhali,Ninayo sababu,ila naomba nije pm
Utakua nao mkuu jiandae kisaikolojiaNilipima last February nikakuta niko Negative, juzi kati kuna mtoto kajichanganya kwenye 18 zangu, nikabutua! Yaani hapa nina kazi ya kupima tena baada ya miezi 3.
Kwani wanaopanga foleni hawawezi kuwemo humu, hawana ndugu wenye huo uhitaji pia? Usimkatishe tamaa popote anaweza kupata.Mkuu kama umeshindwa kupata mwenza huko kwenye foleni ya kuchukuwa vidonge vya ARV utapata humu?
Nakushauri endelea kuwavizia kule hospital.
Utapata mwanamke wa ndoto yako.
Humu ni kupoteza muda wako.
Tatizo la humu ni ID fake.Kwani wanaopanga foleni hawawezi kuwemo humu, hawana ndugu wenye huo uhitaji pia? Usimkatishe tamaa popote anaweza kupata.
Naomba umuulize aliupataje pataje.. ooopsKila rakheri mkuu
Ooh no , mkuu huwezi jua kuna sababu nyingi sana zinazosababisha maambukizi, what if alizaliwa nao kumuuliza atafeel aje?, muhimu tujilinde na tulinde afya za wenzi wetu, tena wewe una ma baby zaidi ya mmoja bisha?😀Naomba umuulize aliupataje pataje.. ooops
Hii statement unatutisha au ?Ndugu zangu namaanisha,nawapa pole mnaoleta utani. Niko na afya nzuri nikiamua ntamchukua mwanao,mdogowako,mkewako, au mchumbawako.