Nafikiria kusoma Diploma ya Meno

Nafikiria kusoma Diploma ya Meno

Kama ndivyo sawa ndio hulka na silka ya mtanzania yeyote
Dentist hana sifa za kuwa daktari..medical doctor ni far more complex courses inayohusiana na vitu vingi sana..kumuita dentist daktari ni makosa makubwa sana..ndio mana wanaitwa wasanifu meno.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka mjini nenda kijijini kaombe kujitolea kwenye zahanati ulipwe na kijiji

Ushauri USIPENDE KUJILINGANISHA NA MWINGINE PAMBANIA CHAKO
 
Pole Tabibu, nakuelewa sana mkuu. Nikushauri kama hutojali, usiende kupoteza tena miaka 3, nenda pale Muhimbili kuna kozi fupi fupi nyingi, kama vile kozi za meno, kozi za kutoa dawa za usingizi, kozi za radiology n.k. ukiwa na ujuzi wa ziada na huo utabibu wako nakuhakikishia mjini patakuwa rahisi kwako, kila la heri.
 
Pole Tabibu, nakuelewa sana mkuu. Nikushauri kama hutojali, usiende kupoteza tena miaka 3, nenda pale Muhimbili kuna kozi fupi fupi nyingi, kama vile kozi za meno, kozi za kutoa dawa za usingizi, kozi za radiology n.k. ukiwa na ujuzi wa ziada na huo utabibu wako nakuhakikishia mjini patakuwa rahisi kwako, kila la heri.
Mkuu we utabibu haujakusaidia chochote
 
Kosa lako kubwa ni kujilinganisha na huyo rafiki yako. Sikia brother kila mtu ana njia zake za kupita. Ila iki2a una amini katika kusoma sawaa jaribu kusomea radiology itakubeba sana..
 
Kosa lako kubwa ni kujilinganisha na huyo rafiki yako. Sikia brother kila mtu ana njia zake za kupita. Ila iki2a una amini katika kusoma sawaa jaribu kusomea radiology itakubeba sana..
Uhakika mkuu kikubw prnda unachokifanya hata Kama kinakupa miamia kuliko mamilion uyapate kw kufanya kitu ambacho ukipendi hivyo tu mkuu
 
Habari ya muda wadau wa elimu.

Mimi ni kijana wa miaka 26 na nina Diploma ya Clinical Medicine ambayo nimehitimu 2020..tangu nipo mtaani kufanya kazi sehemu mbali mbali(vijiwe) nimejikuta sina chochote cha maana ninachofanya kwa sababu malipo madogo na kazi zenyewe za kubabaisha sana.

Nina rafiki yangu yeye ni ana Diploma ya meno na tulimaliza wote mwaka mmoja ajabu mpaka sasa ana mafanikio makubwa sana kwanza anapofanya kazi ana thaminiwa na anapewa hela nzuri si chini ya laki 9 kwa mwezi(yeye hulipwa kwa kichwa).

Kiufupi ana maendeleo makubwa kiasi mpaka ananihurumia mimi Tabibu wakati tulipokua tunasoma nilikua najiona niko juu sasa niko vibaya kiuchumi.

Kijiwe ninachofanya kazi na vijiwe mbali mbali nilivyopita hakuna mshahara unalipwa kutokana na uanchoingiza unajikuta kwa mwezi unapata kiasi cha 200k-280k na unakopwa juu na ajira za serikali nimeomba nimeangukia pua.

Sasa wazo nililopata ni kusoma hiyo C.Dentisry je, kwa ufaulu wangu huu nilio nao wa Physics C,Bios B ,Chemistry C naweza kupata chuo cha serikali nikajiuma tena kwa miaka 3 na huku nikitumia cheti changu cha C.O kujikidhi mahitaji?

NB;Sifikiri Digrii ya Udaktari kwa sababu ya Hela kua kubwa,ushindani mkubwa na GPA yangu nadhani siwezi kukompiti...

Naomba ushauri katika hilo je,nipo sahihi au nimevurugwa nahitaji ushauri wa kitaalamu

Matusi sitaki naomba ushauri
ndugu yangu unaonekana mpaka ulipofika hapo huelewi uende wapi......eneweyii meno sikuhizi yanagoma kutoka wala kuoza kutokana na hali ngumu ya maisha!
 
Back
Top Bottom