Nafikiria kumuacha. Je niko sahihi?

Nafikiria kumuacha. Je niko sahihi?

mkuu, jibu fupi, hakuna kitu hapo piga chini

and trust me , yuko kifedha kwako , kuna hali nzuri hapo ndio maana hataki asikie habari za kijijini, hataki maisha ya 'shida'

ukitaka kujua hili, kama umepanga pahala pazuri, mwambie nimeyumba kiuchumi, tuhamie sehem ya chumba kimoja ( mf:

Tandale) ukiwa very serious, alaf cheki reaction yake, utajuta

yuko kimaslahi, uyo ni paka shume, slay queen, itafika mda kufua atataka uajiri mtu wa kufua, au kupika uajiri mfanyakazi

ukitaka kum control say asivae suruali, asiweke makucha, asipige kilevi, asiwe na hao rafiki wehu, basi atakuita 'mkoloni'

usikute ana account Insta anatupia picha za m'binuko huko, na wewe hujui, usikute anaenda mpaka kwa Mpalange

ni dem wa kimjini huyo, achana nae fasta maana mnapotezeana mda tu,

ukioa tu hapo, that's hell of a big mistake
Nashukuru kwa Ushauri Mkuu

Hivi kwenda kwa mpalange maana yake nini?
 
Ndugu yangu situation uliyonayo ndiyo ninayopitia sasa hivi.Na huyo uliyenaye ni kama huyu ninayeishi naye sasa hivi ila tofauti ndogo tu ni kuwa hana tabia na marafiki wadangaji au wenye tabia za hovyo.Hivyo na mimi nipo hapa kupokea ushauri
Karibu tupate Ushauri Mhanga mwenzangu
 
Back
Top Bottom