Nafikiria kufungua biashara ya play station

Nafikiria kufungua biashara ya play station

pascal luoga

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
238
Reaction score
271
Habari zenu wakuuu.
Nimepata pesa kiasi kadhaa ila nafikiria kufungua biashara ya play station. Ila huwa nafuatiliaga sana mitandaonj kuna vitu huwa naviona vinanikatisha tamaa kuanza hii biashara.
1.Naonaga watu wanalalamika sana kwamba ni ugomvi na kin mama kuhusu watoto wao

2.kushtakiwa serikali za mitaa

3.POLISI hawakauki

Hizo point tatu huwa zinanikatisha sanaa tamaa na hii biashara hasa hii point ya tatu (3) POLISI
-Maana sehem ambayo nahitaji kufungua ni barabarani na nataka niipromote vya kutosha hiyo office ila naona kama nitasumbuliwa sana na hao Askari, maana watu wanasema hata uwe na vibali ila hawakauki kujaofisini na kwa hiv nampango wa kufungua maeneo ya barabaran naona kama nitajitangaza kwa hao Askari.

Je kwa ambao wamewai kufanya hii biashara mnanishauri kitu gani hapo? Pia naweza kuvishinda hivi vitu kwa kufanya nini??
Msaada wenu wakuu🙏🙏
 
hii ya polisi mbn ndo naisikia kutoka kwako..yan polisi wasumbue kuhusu nn hasa??

na hivo vibali unavosema ww ni vya kutoka wp? tra au polisi
 
1. WAZAZI
a. usiruhusu wanafunzi(wakiwa na sare) kuingia kwenye PS.

b. usiruhusu watoto chini ya miaka 13 kuingia PS hasa jumatatu hadi ijumaa.

2. POLISI & MGAMBO
a. uwe na kibali cha utamaduni na michezo.

b. fungua ofisi kuanzia saa4-6

c. jenga mahusiano mazuri na serikali ya mtaa, wakiwa marafiki zako utafurahia biashara ya PS.

3. WIZI WA VIFAA & UHARIBIFU
Hapa ni umakini wako, weka mtu unaemwamini au simamia mwenyewe. Pad huwa zinaibiwa sana.
 
hii ya polisi mbn ndo naisikia kutoka kwako..yan polisi wasumbue kuhusu nn hasa??

na hivo vibali unavosema ww ni vya kutoka

hii ya polisi mbn ndo naisikia kutoka kwako..yan polisi wasumbue kuhusu nn hasa??

na hivo vibali unavosema ww ni vya kutoka wp? tra au polisi
WAnasema kwamba ni kama biashara haramu hivyo wanakuja nia yao uwape rushwa
 
1. WAZAZI
a. usiruhusu wanafunzi(wakiwa na sare) kuingia kwenye PS.

b. usiruhusu watoto chini ya miaka 13 kuingia PS hasa jumatatu hadi ijumaa.

2. POLISI & MGAMBO
a. uwe na kibali cha utamaduni na michezo.

b. fungua ofisi kuanzia saa4-6

c. jenga mahusiano mazuri na serikali ya mtaa, wakiwa marafiki zako utafurahia biashara ya PS.

3. WIZI WA VIFAA & UHARIBIFU
Hapa ni umakini wako, weka mtu unaemwamini au simamia mwenyewe. Pad huwa zinaibiwa sana.
Sawa kaka shukran🙏🙏
 
hii ya polisi ndo naisikia kwako..

ni vibali gani hasa vinahitajika?
 
Njoo nikuuzie pc game yenye game zaidi ya 20 bei kitonga
Pes,mortal Kombat,GTA,devil may cry nk
 
Habari zenu wakuuu.
Nimepata pesa kiasi kadhaa ila nafikiria kufungua biashara ya play station. Ila huwa nafuatiliaga sana mitandaonj kuna vitu huwa naviona vinanikatisha tamaa kuanza hii biashara.
1.Naonaga watu wanalalamika sana kwamba ni ugomvi na kin mama kuhusu watoto wao

2.kushtakiwa serikali za mitaa

3.POLISI hawakauki

Hizo point tatu huwa zinanikatisha sanaa tamaa na hii biashara hasa hii point ya tatu (3) POLISI
-Maana sehem ambayo nahitaji kufungua ni barabarani na nataka niipromote vya kutosha hiyo office ila naona kama nitasumbuliwa sana na hao Askari, maana watu wanasema hata uwe na vibali ila hawakauki kujaofisini na kwa hiv nampango wa kufungua maeneo ya barabaran naona kama nitajitangaza kwa hao Askari.

Je kwa ambao wamewai kufanya hii biashara mnanishauri kitu gani hapo? Pia naweza kuvishinda hivi vitu kwa kufanya nini??
Msaada wenu wakuu🙏🙏
Fungua biashara ya nafaka maisha saiv hayahitaji janja janja ply station weka geto kwako litakuburudisha OVER
 
Habari zenu wakuuu. Nimepata pesa kiasi kadhaa ila nafikiria kufungua biashara ya play station. Ila huwa nafuatiliaga sana mitandaonj kuna vitu huwa naviona vinanikatisha tamaa kuanza hii biashara. 1.Naonaga watu wanalalamika sana kwamba ni ugomvi na kin mama kuhusu watoto wao 2.kushtakiwa serikali za mitaa 3.POLISI hawakauki Hizo point tatu huwa zinanikatisha sanaa tamaa na hii biashara hasa hii point ya tatu (3) POLISI -Maana sehem ambayo nahitaji kufungua ni barabarani na nataka niipromote vya kutosha hiyo office ila naona kama nitasumbuliwa sana na hao Askari, maana watu wanasema hata uwe na vibali ila hawakauki kujaofisini na kwa hiv nampango wa kufungua maeneo ya barabaran naona kama nitajitangaza kwa hao Askari. Je kwa ambao wamewai kufanya hii biashara mnanishauri kitu gani hapo? Pia naweza kuvishinda hivi vitu kwa kufanya nini?? Msaada wenu wakuu🙏🙏
vipi umeshafungua mkuu
 
Back
Top Bottom