Mswati Original
Member
- Sep 9, 2014
- 59
- 21
Baada ya tafakari ya muda mrefu juu ya matumizi yangu ya fedha hakika ni mwendo wa lodge na kuhonga ambapo ni kama 3/4 ya base salary yangu na ni hasara sana kwa maendeleo yangu! Inaniuma sana kwa sababu nimewekeza zaidi kwenye papuchi kuliko maendeleo. Hii ni baada ya kujitafakari sana sasa nimeamua kubadili tabia na kuacha hii tabia; kazi ni hii ishu ya kubaki njia kuu, je ni ipi kati ya hawa waliopo.?