kamanda wa makamanda
JF-Expert Member
- Aug 21, 2015
- 633
- 498
Poa Mkuu lakini nahisi nitakuwa nikitokea Dar na lazima nitue Arusha Kwanza
unapitia njia ya singida ndio rahisi unashukia njia panda ya mbulu
Poa Mkuu lakini nahisi nitakuwa nikitokea Dar na lazima nitue Arusha Kwanza
Ktk wilaya zilizosahaulika ni Mbulu,hakuna barabara ya lami inayoingia ktk huo mji,lami ni kipande kidogo sana katikati ya mji,My take: beba condom hawajui kukataa
usisahau kupitia mamaisara,gehandu na tlawi..
Angalia unapopanda hizo Landcruiser usijionyesha kama una vi milioni vyako ,hutaiona tena MbuluUkifika Arusha, uliza Majengo Bar kuna Landcruiser nauli haizidi 20,000. Safari zinaanza saa moja asubuhi saa saba uko Mbulu
usisahau kupitia mamaisara,gehandu na tlawi..
Kama unatoka Dar panda Dar Express ama Saibaba mojakwa moja mpaka Karatu lala hapo asubuhi mapema panda gari ya kwanza bus au cruiser tatu nne upo Imbolu ukifika usisahau kuniPM nikuonyeshe viwanja
Wakuu naomba msaada jinsi ya kufika mbulu Manyara kwa barabara, na mabasi gani mazuri luxury tafadhari na makadirio ya nauli sh ngapi