SON OF THE LAND
JF-Expert Member
- Oct 7, 2015
- 204
- 210
Wakuu naomba msaada jinsi ya kufika mbulu Manyara kwa barabara, na mabasi gani mazuri luxury tafadhari na makadirio ya nauli sh ngapi
unatokea sehemu gani?
kama unatokea dar kwa ndege ukishuka KIA Panda shuttle mpaka arusha mjini(45 km) tsh 10000,then unaenda stendi kuu ya arusha unapanda shuttle noah za karatu(147 km) tsh 7000
then karatu - mbulu kuna land cruiser tsh 5000.
bus panda dar express ya karatu 35,000 ukishuka panda land cruiser za mbulu tsh 5000.
Mkuu ongera kwa kwenda huko ila usisahau kondom
Kuna watoto wazuri kama wazungu au brazili ahahahah
Ukifika Arusha, uliza Majengo Bar kuna Landcruiser nauli haizidi 20,000. Safari zinaanza saa moja asubuhi saa saba uko Mbulu
Wakuu naomba msaada jinsi ya kufika mbulu Manyara kwa barabara, na mabasi gani mazuri luxury tafadhari na makadirio ya nauli sh ngapi
unatokea sehemu gani?
kama unatokea dar kwa ndege ukishuka KIA Panda shuttle mpaka arusha mjini(45 km) tsh 10000,then unaenda stendi kuu ya arusha unapanda shuttle noah za karatu(147 km) tsh 7000
then karatu - mbulu kuna land cruiser tsh 5000.
bus panda dar express ya karatu 35,000 ukishuka panda land cruiser za mbulu tsh 5000.
Mimi pia kuna siku nitaenda.... Haydom inacost how much
Unatoka wapi?
Siku ikifika nitakuwa nishajipanga so nitaeleza fresh nitakapokuwepo...
Mto wa mbu ni njia ya kwenda Karatu zikitokea Makuyuni Junction.Nilishawahi fika Lake Manyara Hostel na kuna sehemu inaitwa Mto wa Mbu i hope ni maeneo ya huko huko... palikuwa pamechangamka kiaina maana tulikuwa kwenye safari ya utalii wa Ndani so eneo kama hilo ni motomoto ila tuliambiwa sifa zake hapo magari na matruck huegeshwa pembezoni na mengi hufanya kama sehemu ya kupumzikia wakiwa safarini
Poa Mkuu lakini nahisi nitakuwa nikitokea Dar na lazima nitue Arusha KwanzaMto wa mbu ni njia ya kwenda Karatu zikitokea Makuyuni Junction.
Karatu Unaweza kwenda Mbulu au kuingia Ngorongoro kiongozi.
Kama JPM vile, karibu na Mwanza