Mimi ni kijana wa kitanzania naishi mkoa Mwanza,umri wangu ni miaka 26,Elimu yangu ni ya form six,nina ombi kwa mtanzania yeyote mwenye nafasi ya kazi kwenye eneo lake na anahitaji mtendaji (mfanyakazi) mimi nipo hapa najitokeza kwako kuomba hiyo nafasi.
Kazi ni yeyote ile kikubwa ni kuwa ni kuelewana,kwenye maslahi.
Kwa alie tiyari tu.
Nitafute kwenye msenyec@gmail.com
Baada ya hapo tutapeana mawasiliano zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ni yeyote ile kikubwa ni kuwa ni kuelewana,kwenye maslahi.
Kwa alie tiyari tu.
Nitafute kwenye msenyec@gmail.com
Baada ya hapo tutapeana mawasiliano zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app