Nafasi zilizotangazwa TANAPA

Nafasi zilizotangazwa TANAPA

Tamalisa

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
2,542
Reaction score
907
Habari za asubuhi!

kwa wale wadau wa utalii, vp kuhusu nafasi za kazi zilizotangazwa na TANAPA tarehe 17/12/2014? bado kimya au

kuna lolote mtujulishe basi, tusije tukawa tunajipa moyo kumbe tumepitwa, mtandaoni tumecheki hakuna result.

asanteni kwa taarifa wadau.
 
Mhhhhhhhhhhhhhhhhh inamaana mi peke yangu ndo mdau wa utaliii
 
aiseee babayangu kuna tembe amekufag tupo kwenye msiba na matanga 2kimaliza tutatoa majibu kuwa mvumilivu
 
Habari za asubuhi!

kwa wale wadau wa utalii, vp kuhusu nafasi za kazi zilizotangazwa na TANAPA tarehe 17/12/2014? bado kimya au

kuna lolote mtujulishe basi, tusije tukawa tunajipa moyo kumbe tumepitwa, mtandaoni tumecheki hakuna result.

asanteni kwa taarifa wadau.

Hizi kazi hazikuwa public, zilikuwa internal post kwa ajili ya wafanyakazi wao, pole kwa kujihangaisha.
 
Back
Top Bottom