Nafasi za PCCB

Nafasi za PCCB

Nzenzu

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
858
Reaction score
164
Je wanatangaza nafasi zao lini? Mwenye taarifa pls!
 
siku hizi wanafanya internal recruitment,
Jamaa waliajiri watu kibao kama Assistant Investigative Officers( walinzi,wahudumu,madereva, wahasibu wasaidizi,mafundi mchundo etc) sasa wengi wao wamejiendeleza Open University wamepata degree hivyo basi wanabadilishiwa vyeo (wanakuwa promoted) kuwa mainvestigative officer.
Wakitaka kuongeza maassistant investigative officers wanaenda kurecruit jkt.
Source,HQ Upanga
 
siku hizi wanafanya internal recruitment,
Jamaa waliajiri watu kibao kama Assistant Investigative Officers( walinzi,wahudumu,madereva, wahasibu wasaidizi,mafundi mchundo etc) sasa wengi wao wamejiendeleza Open University wamepata degree hivyo basi wanabadilishiwa vyeo (wanakuwa promoted) kuwa mainvestigative officer.
Wakitaka kuongeza maassistant investigative officers wanaenda kurecruit jkt.
Source,HQ Upanga

Mfumo huo ni wa kifisadi nao wanapaswa kuchunguzwa.......Ndiyo maana wanararuana kwa risasi.
 
siku hizi wanafanya internal recruitment,
Jamaa waliajiri watu kibao kama Assistant Investigative Officers( walinzi,wahudumu,madereva, wahasibu wasaidizi,mafundi mchundo etc) sasa wengi wao wamejiendeleza Open University wamepata degree hivyo basi wanabadilishiwa vyeo (wanakuwa promoted) kuwa mainvestigative officer.
Wakitaka kuongeza maassistant investigative officers wanaenda kurecruit jkt.
Source,HQ Upanga
hii safi sana!wafanye hivyoo ata kwa taasisi nyingine ili vimemo vipungue
 
ajira bongo ni kizungumkuki na kupasuana vichwa tu
 
Acha wale Assistants nao wapande!wengine wana miaka 10 wanahaha kupanda kuwa full investigator!nafasi mpya wazipeleke JKT kwa wenye sifa zile zile maana watakuwa na ukakamavu na uzalendo pia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom