Kuweni na subira, maana hata mimi nazisikilizia mbaya tu, sisi tumekaa kitaa hadi najilaumu kwanin nlisomea fani hii, kama vipi tuendelee kusubiri huku tukipanga mipango endelevu ya kujikomoa kimaisha, kama home kuna kauwezo tuendelee kuunga trela la law xkul maana kitaa noma mwanangu asikuambie people, sawa!
Kwa utaratibu ambao niliusikia ni kwamba hizi kazi hua zinatoka baada ya miaka miwili..hizo mia tatu zilitokaga mwaka jana..kwaio nyingine may be hadi mwakani hivyo ndo nikivyosikia toka kwa wadau labda utaratibu uwe umebadilika over..naona unaitaka primary court eenhh..!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.