Nafasi za kazi

Nafasi za kazi

Fay Mastories

Member
Joined
Jun 20, 2014
Posts
49
Reaction score
3
Habari!

Ni habari njema kwa vijana na hata watu wazima pia. Ni nafasi za kazi na tenda kwa ujumla!,yaani tunakualika leo ufanye kazi nasi katika kampuni yetu bila kujali unasoma au unafanya kazi sehemu nyingine bado waweza fanya kazi nasi bila tatizo.

Kwa kifupi ni Biashara Ya Mtandao iliyo na faida kubwa sana! na vilevile mtu yeyote anaweza kuifanya na akafanikiwa!.Bidhaa zetu ni za usafi,urembo na afya kwa ujumla! .biashara hii tayari imebadilisha maisha ya watu watanzania wengi!.

karibu na wewe leo uwasiliane nasi,tutakusikiliza na tutakupokea kwa mikono miwili,na kukueleza zaidi juu yetu,pia utafanya kazi nasi chini ya kampuni ya jina letu!!.

Umri kuanzia miaka 18+ na kuendelea!!. kuna mengi zaidi na mapana siwezi kumaliza kuyaongea hapa, waweza kuni~PM namba yako ya simu nikakutafuta mwenyewe!!. inapendeza zaidi ukawa mtumiaji wa whatsapp inakuwa rahisi kupata video na picha za bidhaa zetu mbalimbali!.,


"if u were born poor its not your mistake!!. but if u die poor...its your mistake!! ~Bill Gates".
 
Majanga

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Hawa jamaa kwa kujisifia ati wako na goodlife, ni no 1 hata kama hana kitu
 
kutembeza madawa ya kienyeji?acheni hizo,good life ipi?mbona cjaona m2 akitembeza bidhaa zenu kwa gari?
 
usilolijua ni sawa na usiku wa giza.. asanteni kwa mlioni Pm Na Karibuni zaidi. asanteni.
 
flp at work!!.ryt?!,tena mie ndo ipo kwenye damu kabisaa.. siwezi kubishana na mtu ambaye anajua maisha yake anayaendesha vipi hlf hajui kitu juu ya flp!!

nani kakwambia ukauze utembeze na products kama machinga! hakuna na wala biashara yetu haiendi hizo. mimi kuanzia nianze sijawah kutembeza na wala sijamuona alietembeza. jifunzeni kwanza sio kuropoka bila sababu.

kama wewe umesharidhika na maisha yako acha anaehitaji tumsaidie aingize chochote kwa mwezi...zaidi uwe mchapakazi na miaka 18 na kuendelea,ni pm namba unayotumia watsapp tuongee na tushirikiane mambo mengi.
asanteni.
 
nimesoma post yenu na nimeielewa nitafute kwa no hii whatsap tuelekezane zaid
 
Habari!

Ni habari njema kwa vijana na hata watu wazima pia. Ni nafasi za kazi na tenda kwa ujumla!,yaani tunakualika leo ufanye kazi nasi katika kampuni yetu bila kujali unasoma au unafanya kazi sehemu nyingine bado waweza fanya kazi nasi bila tatizo.

Kwa kifupi ni Biashara Ya Mtandao iliyo na faida kubwa sana! na vilevile mtu yeyote anaweza kuifanya na akafanikiwa!.Bidhaa zetu ni za usafi,urembo na afya kwa ujumla! .biashara hii tayari imebadilisha maisha ya watu watanzania wengi!.

karibu na wewe leo uwasiliane nasi,tutakusikiliza na tutakupokea kwa mikono miwili,na kukueleza zaidi juu yetu,pia utafanya kazi nasi chini ya kampuni ya jina letu!!.

Umri kuanzia miaka 18+ na kuendelea!!. kuna mengi zaidi na mapana siwezi kumaliza kuyaongea hapa, waweza kuni~PM namba yako ya simu nikakutafuta mwenyewe!!. inapendeza zaidi ukawa mtumiaji wa whatsapp inakuwa rahisi kupata video na picha za bidhaa zetu mbalimbali!.,


"if u were born poor its not your mistake!!. but if u die poor...its your mistake!! ~Bill Gates".

nichek hapa 0756237594
 
Mmhh hivi wote wangeweza kyajiliwa nani angekuwa anafanya kazi kwa watu...
Waacheni wafanye kazi kwani hata mie nina elimu yangu lakini nauza vitabu.....biashara ya F lkn mimi nainizidi kipato cha faida tena safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii .....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom