Unahisi ya mchongo 😂😂 maana bandari na gmail mbona hatari
Jihadharini na kutapeliwa. Je hili ni tangazo rasmi kutoka kwenye website ya Suma JKT?Ombeni kazi ni nynyi tu na kuomba.View attachment 2519180
Za kufanya bandarini au Suma@gmail.com???Ombeni kazi ni nynyi tu na kuomba.View attachment 2519180
Nimecheka sana aise. Haaya sasa wenye michongo yao wamekuja na touching zao kumulika mwiziZa kufanya bandarini au Suma@gmail.com???

