Nafasi za kazi TRA


Wazushi na siombi tena kupoteza muda wangu
 
we kafanye kaz bure

jaribu kupitia "post" zangu zote nilizopost kwenye huu uzi kisha utaelewa ninachosema, na sitegemei kama utakuja na "comment" kama uliyoitoa hapa.
Am sorry to say wewe ni mtumwa wa mshahara.
Kwa kusaidia tafuta watu wanaofanya kazi kama
sales
marketing officers
waulize kama wapo kwenye "payroll" ya kampuni wanazofanyia kazi! Kisha waulize how much they are making per day?
Na waulize how long have they been working without salary.
Wapo watu wanafanya kazi na hawajui mshahara ni nini, ila wanatengeneza pesa nyingi kuliko hata wakurugenzi.
 
interview zao zinakuwaje jamani? Huwa wanatoaga maswali ya namna gani wandugu? Msaada hapo plz.
 
Kama ni T.R.A, wala sijisumbui coz the aplicant must be fluent in English, Swahili & Chaga.





" Three bad facts about today, today is not friday, also tomorrow is not friday, even the day after tommorrow is not friday "..............Anonymous
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…