Nafasi za kazi TRA

mkuu upo sawa na natamani vijana watanzania tufunguke katika fikra.
Kuna raisi mmoja wa Marekani aliwahi kusema "before asking what your country will do for you, ask yourselft what will you do for your country"
ukishaona unafikiria mshahara kuliko kazi katika kitabu chake cha "retire young retire rich" Kiyosaki anaeleza utakuwa mtu wa kwenda shule kusoma kwa bidii upate "grade" nzuri za kukupa mshahara mzuri na sio uhuru wa kifedha na utumwa wa mshahara.
Na ukifuatilia utaona, watu wangapi wanadanganya umri wao kazini, na kwa nini?
Wazee wangapi wamestaafu serikalini kwa sababu ya utumwa wa mshahara wanashindwa kuendesha maisha yao ya uzeeni hatimaye kuamua kuomba ajira tena ktk taasis binafsi.
Mkuu napata shida na uchungu wa hawa vijana wenzetu/wetu wanavyofikiri.
Na katika hali hii tutegemee wawekezaji wa nje wataendelea kutufanya watumwa wao kwa kutmia mishahara.
sio siri yani yule jamaa toka nianze soma vitabu vyake sitaki kusikia hata kuomba kazi..naumia sana nikiona vijana wenzangu wanavyolalamika kazi hamna sijui nini na nin..mtu unakaa home au kitaa mwaka mpk mitatu lkn kama ungejishughulisha mamboa yana kua poa kabisa u dont need money to make money..unacho hicho kitabu version ya pdf mkuu? navitafuta vtab vyake sana yan kila nikisoma najikuta hata nikitembea naziona opportunities za kupiga hela tu yan
 
katika sehemu ambazo sinaga mpango kutuma application zangu ni TRA, NI KUPOTEZA RESOURCES AMBAZO NINGEWEZA KUZITUMIA SEHEMU NYINGINE
 
Wenzetu wameshaanza na kazi kabisa unataka kutuma maombi? unawajua unawasikia? kazi kwa vi-memo.

acha kuwakatisha wenzako moyo. vijana wenye sifa stahili watapata kazi bila vimemo. hakuna hata mmoja aliyeanza kazi tangu mwaka 2010 bila kufanya process zote.......
 
sio siri yani yule jamaa toka nianze soma vitabu vyake sitaki kusikia hata kuomba kazi..naumia sana nikiona vijana wenzangu wanavyolalamika kazi hamna sijui nini na nin..mtu unakaa home au kitaa mwaka mpk mitatu lkn kama ungejishughulisha mamboa yana kua poa kabisa u dont need money to make money..unacho hicho kitabu version ya pdf mkuu? navitafuta vtab vyake sana yan kila nikisoma najikuta hata nikitembea naziona opportunities za kupiga hela tu yan

nina hard copy tu mkuu
 
Na uwe umemaliza kuanzia 2010!!uwe na upper second!I wonder kama vyeti ndo vinafanya kazi or not?/hizi wamezitenga maalum kwa watoto wao waliomaliza Tumaini University with first class na upper za bureee...Mlimani hzo upper second utazisikia tuuuuuuu..

Wewe tu ndo huna sifa wenzako wa UDSM wanapiga kazi sasa hivi.
 
Wadau hivi kuna yoyote ambaye amefanya hizo application za TRA online akafanikiwa, mbona naona inazingua sana na hakuna feedback yoyote ukisha submit hiyo application
 
Wadau hivi kuna yoyote ambaye amefanya hizo application za TRA online akafanikiwa, mbona naona inazingua sana na hakuna feedback yoyote ukisha submit hiyo application

Mbona ni rahisi tu mkuu tena nimetumia simu kuijaza baada ya hapo wakanitumia this mail " ambapo kwenye hiyo mail wanakutumia reference number, So next time unaingia unafanya ku login na hiyo reference number then chini yake unachagua post

Labda kama utaenda kujazia internet cafe make sure umebeba details zako zote kuhusu 1.Personal information, 2.Education Qualification 3.skills and experience 4. References (referees)...
 
Mbona ni rahisi tu mkuu tena nimetumia simu kuijaza baada ya hapo wakanitumia this mail " ambapo kwenye hiyo mail wanakutumia reference number, So next time unaingia unafanya ku login na hiyo reference number then chini yake unachagua post

Labda kama utaenda kujazia internet cafe make sure umebeba details zako zote kuhusu 1.Personal information, 2.Education Qualification 3.skills and experience 4. References (referees)...



Mkuu shukrani sana kwa updates nilifanikiwa ijumaa kutuma application na nilipata Ref No, ubarikiwe kaka
 
Ngoma msimbaz centre written interview...watu nyomi.Watoto wa CBE ndo usiseme kwa ngaz ya diploma unaweza ukasema orientation course.
 
Ngoma msimbaz centre written interview...watu nyomi.Watoto wa CBE ndo usiseme kwa ngaz ya diploma unaweza ukasema orientation course.


miss strong sijakusoma unamaanisha watu wa diploma wameshaitwa au una refer zile nafasi za kipindi kile january?, ila ofcourse CBE wanabahati na hizi nafasi kwani wengi wanauwezo
 
Na uwe umemaliza kuanzia 2010!!uwe na upper second!I wonder kama vyeti ndo vinafanya kazi or not?/hizi wamezitenga maalum kwa watoto wao waliomaliza Tumaini University with first class na upper za bureee...Mlimani hzo upper second utazisikia tuuuuuuu..

Ndo ukasome Tumaini university na wewe sas!
 
Na uwe umemaliza kuanzia 2010!!uwe na upper second!I wonder kama vyeti ndo vinafanya kazi or not?/hizi wamezitenga maalum kwa watoto wao waliomaliza Tumaini University with first class na upper za bureee...Mlimani hzo upper second utazisikia tuuuuuuu..



:confused2: :confused2:
 
acha ujinga! Yaani ndo kwanza tangazo limetoka deadline haijaisha unaulizia mshahara?
Hivi wanajamvi kwa nini watu tumekuwa na umimi sana?
Hivi ikatokea watu hawalipwi mshahara kuna wengi humu ndani hawatafanya kazi.
Mnaboa sana, tangazo ndo kwanza limetoka unauliza mshahara! Why dont you ask resposibility instead of asking salary?

we kafanye kaz bure
 
Msigombane ndugu zangu. mishahara ya tra ni ya kawaida sana

Ni kweli kabisa mimi nilikuwa na upper second class na niliomba kwa hao jamaa kama mara tatu hivi bila hata kuitwa kwenye usaili lakini wenzangu waliokuwa na lower class walipata ajira.Mimi mtoto wa mkulima nikaamua kufanya kazi katika makampuni ya private ambayo hayana urasimu lakini amini hadi sasa my salary ni zaidi ya mara nne ya huo mnaokimbilia TRA ndani ya miaka yangu mitano tangu nilipograduate.Hivyo hata mtakaopigwa chini msikate tamaa maana hao jamaa kwa urasimu wa kubebana hasa wachaga na wahaya hawajambo.
 
Back
Top Bottom